ITAKUSHANGAZA: BINTI ALIYEZAA NA JINI BILA KUJUA ASHINDWA KUJIZUIA AKIELEZA KILICHOTOKEA A..


Реклама:

Это тест.This is an annoucement of Mainlink.ru
Это тестовая ссылка. Mainlink.ru

Реклама:

ITAKUSHANGAZA: BINTI ALIYEZAA NA JINI BILA KUJUA ASHINDWA KUJIZUIA AKIELEZA KILICHOTOKEA A..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#ITAKUSHANGAZA #BINTIALIYEZAANAJINIBILAKUJUA #ASHINDWAKUJIZUIA #tikitvkiakilizaidi #AKIELEZAKILICHOTOKEA

Смотреть в источнике

Categories

14 комментариев

  1. Jamani dunia inamambo sana pole sana dada kikubwa dua rudi kwamungu

  2. Kuna Majini wabaya na kuna majini hawadhuru wako waislam na wako siyo Waislam. Unaweza ukawa na jini kwa miaka bila ya kukukera na akakukinga na vitu vibaya na kuna wale wa baya Mungu atustiri wanakufanya uwe huna raha.. Dawa yake ni kisomo tuu…

  3. Pole sana mwanangu.mimi nilikuwa natokewa na watu wenye sura ya mdogo wangu.nilikuwa nakabwa usiku mwisho wa siku nikawa naota najifungua lakini nilikuwa natokwa na pumzi tu.Mkimbilie Yesu ndiye jibu suruhisho la milele.

  4. Yesu anaweza dada ni vitu vidogo Kwa Yesu okoka nenda Kwa mtumishi wa kweli akuombee

  5. Usitumie mapambo wla usisuke mapambo n ya Shetani ndo mama hata ukiomba yanakuja yache mapambo Lakini poia dawa ni wokovu tuuu yataisha

Добавить комментарий для @saraphinawillson939 Отменить ответ

Ваш адрес email не будет опубликован. Обязательные поля помечены *

Реклама:

Реклама:

Создание Сайта Кемерово, Создание Дизайна, продвижение Кемерово, Умный дом Кемерово, Спутниковые телефоны Кемерово - Партнёры